Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 1 uku. 9
  • Yehova Anatusaidiaka ili Tuvumilie Magumu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Anatusaidiaka ili Tuvumilie Magumu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kumbuka Kama Yehova Ni “Mungu Mwenye Kuishi”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Hatuko Peke Yetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Namna Yehova Anatusaidia Kuvumilia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 1 uku. 9
Wazazi na watoto wao wawili wanapatisha wakati pamoya na kutaniko yao ku vidéoconférence.

MAISHA YA MUKRISTO

Yehova Anatusaidiaka ili Tuvumilie Magumu

Mu hizi siku za mwisho, tuko napambana na magumu mingi ya nguvu. Wakati fulani, tunaweza kuona kama ni nguvu kuvumilia magumu yetu. Lakini, kama tunaendelea kumukaribia Yehova, atatusaidia tuvumilie magumu yote yenye iko natuhangaisha. (Isa 43:2, 4) Ni mambo gani inaweza kutusaidia tumukaribie Yehova wakati tuko napambana na magumu?

Sala. Wakati tunamufungulia Yehova moyo wetu, anatupatia amani na nguvu ya kuvumilia.​—Flp 4:6, 7; 1Te 5:17.

Mikutano. Leo, kuliko wakati mwingine wowote, tuko na lazima ya chakula ya kiroho na lazima pia ya kukutana na ndugu na dada ku mikutano yenye Yehova ametutayarishia. (Ebr 10:24, 25) Yehova anatupatia roho takatifu wakati tunajitayarisha kwa ajili ya mikutano, wakati tunakusanyika, na wakati tunatoa maelezo.​—Ufu 2:29.

Mahubiri. Wakati tunafanya yetu yote ili kuhubiri kwa ukawaida, ile inatusaidia tukaze akili yetu juu ya mambo ya muzuri. Inatusaidia pia kufanya urafiki wetu pamoya na Yehova na wafanyakazi wenzetu ukuwe nguvu.​—1Ko 3:5-10.

MUANGALIE VIDEO YEHOVA ATAKUKARIBISHA, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Ni nini ilimusaidia Malu abakie karibu na Yehova wakati alikuwa na magumu?

  • Sawa vile Malu, maneno yenye kuwa mu Zaburi 34:18 inaweza kutufariji namna gani wakati tuko na magumu?

  • Mufano wa Malu unaonyesha namna gani kama Yehova anatupatiaka “nguvu zenye kupita zile za kawaida” wakati tunapambana na magumu?​—2Ko 4:7

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine