Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 1 uku. 12-13
  • Tarehe 17-23/2

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 17-23/2
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 1 uku. 12-13

TAREHE 17-23/2

MEZALI 1

Wimbo 88 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak.1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Mufalme Sulemani anaikala inje pamoya na mutoto wake na iko namupatia mashauri.

Mutoto wa Sulemani iko nasikiliza mashauri yenye baba yake iko namupatia kwa upendo

1. Vijana—Mutamusikiliza Nani?

(Dak. 10)

[Muangalie VIDEO Utangulizi wa Kitabu cha Methali.]

Ukuwe na hekima na usikilize bazazi yako (Mez 1:8; w17.11 uku. 29 fu. 16-17; ona picha)

Usisikilize batu benye banafanyaka mambo ya mubaya (Mez 1:10, 15; w05-SW 15/2 uku. 19-20 fu. 11-12)

Ndugu moya kijana iko mu chumba ya kubadilishia manguo ku masomo. Barafiki yake biko namukaza atumikishe telephone yake juu ya kufanya jambo fulani ya mubaya. Iko nafikiri kama atabasikiliza ao hapana.

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Mez 1:22​—Mu Biblia, mara mingi neno “mupumbavu” inatumiwaka juu ya kuzungumuzia mutu wa namna gani? (it-2 uku. 1005)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Mez 1:1-23 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Mwenye uko naongea naye anapenda kubishana na weye. (lmd somo ya 6 nukta ya 5)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Mupatiane manimero ya telefone na mutu mwenye anapendezwa. (lmd somo ya 1 nukta ya 5)

6. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Uambie mutu kuhusu programu yetu ya kujifunza Biblia na batu, na umupatie karte ya funzo ya Biblia. (lmd somo ya 9 nukta ya 5)

7. Kufanya Banafunzi

(Dak. 5) lff somo ya 16 nukta ya 6. Tumia habari fulani ya mu sehemu “Habari Zingine” juu ya kusaidia mwanafunzi mwenye iko najiuliza kama miujiza ya Yesu ilifanyikaka kabisa. (th somo ya 3)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 89

8. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 22 fu. 15-21

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 80 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine