Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 1 uku. 14-15
  • Tarehe 24/2–2/3

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 24/2–2/3
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 1 uku. 14-15

TAREHE 24/2–2/3

MEZALI 2

Wimbo 35 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Juu ya Nini Unapaswa Kufurahia Funzo ya Kipekee?

(Dak. 10)

Juu uonyeshe kama unaonaka kweli kuwa ya maana (Mez 2:3, 4; w22.08 uku. 18 fu. 16)

Juu itakusaidia kukamata maamuzi ya muzuri (Mez 2:5-7; w22.10 uku. 19 fu. 3-4)

Juu ya kutia nguvu imani yako (Mez 2:11, 12; w16.09 uku. 20 fu. 2-3)

Muisraeli moya iko natumikisha pioche chini ya bulongo.

UJIULIZE, ‘Namna gani naweza kufanya funzo yangu ya kipekee ikuwe muzuri zaidi?’

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Mez 2:7​—Ni mu njia gani Yehova iko “ngao kwa wale wenye kutembea katika uaminifu-mushikamanifu”? (it-1 uku. 1195 fu. 4)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Mez 2:1-22 (th somo ya 12)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Onyesha mwenye-nyumba namna ya kupata ku jw.org habari yenye inaweza kusaidia bibi na bwana. (lmd somo ya 1 nukta ya 3)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Upatie mutu gazeti yenye inazungumuzia wazo yenye alifurahiaka mu mazungumuzo. (lmd somo ya 9 nukta ya 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) lmd nyongeza ya A nukta ya 8​—Kichwa: Bwana Anapaswa Kuwa Muaminifu kwa Bibi Yake na Bibi Anapaswa Kuwa Muaminifu kwa Bwana Yake. (th somo ya 13)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 96

7. Unatafutaka Mali?

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Vijana, munapendaka sana kutafuta mali yenye kufichwa? Kama ni vile, mu Biblia munaweza kupata mali yenye inapita bitu byote. Ile mali ni kumujua Mungu. (Mez 2:4, 5) Unaweza kupata ile mali kwa kujiwekea programu ya kukuwa nasoma Biblia kwa ukawaida na kukuwa natafuta habari zaidi juu ya byenye uko nasoma. Ukifanya vile utapata furaha na utajifunza mambo ya mingi!

  • Wakati uko najifunza Biblia unaweza kujiuliza maulizo gani? (w24.02 uku. 32 fu. 2-3)

  • Ni byombo gani binaweza kukusaidia upate majibu?

Kijana mwanaume mwenye anavala sawa mutu mwenye kutafuta mali iko nafungula kisanduku kya mali.

Mavideo Uige Barafiki ya Yehova inaweza kukusaidia ujue namna ya kufikiri sana juu ya mambo yenye uko nasoma mu Biblia.

Ndugu moya kijana iko najifunza Biblia kipekee. Broshua “Uhai​—⁠Ulitokana na Muumba?” iko ku meza.

Muangalie VIDEO Uige Barafiki ya Yehova​—Abeli.

Soma Mwanzo 4:2-4 na Waebrania 11:4. Kisha uliza basikilizaji:

  • Namna gani Abeli alionyeshaka kama alikuwa Rafiki ya Yehova?

  • Ni nini ilimusaidiaka Abeli akuwe na imani ya nguvu kwa Yehova?

  • Ni nini itakusaidia ukuwe na imani ya nguvu?

SHAURI

Wakati uko nasoma Biblia, ujikaze kujua muzuri zaidi batu, mafasi, ao bitu byenye uko nasoma kubihusu, hata kama pengine unawaza kama unabijua muzuri. Kama unasoma Biblia vile, utaona kama mambo yenye uko nasoma ni ya kweli kabisa!

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 23 fu. 1-8 na utangulizi wa sehemu ya 8

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 102 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine