TAREHE 10-16/3
MEZALI 4
Wimbo 36 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
Balinzi ba muji na ba ku mulango banatenda bila kukawia wakati banaona baadui banakaribia muji
1. “Linda Moyo Wako”
(Dak. 10)
Neno “moyo” inatumiwaka juu ya kumaanisha hali ya mutu ya ndani (Zb 51:6; w19.01 uku. 15 fu. 4)
Tunapaswa kuhangaikia kulinda moyo wetu kuliko jambo ingine yoyote (Mez 4:23a; w19.01 uku. 17 fu. 10-11; uku. 18 fu. 14; ona picha)
Tunaweza kupoteza uzima wetu kama hatulinde moyo wetu (Mez 4:23b; w12 1/5 uku. 32 fu. 2)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Mez 4:18—Namna gani hii andiko inatusaidia kuelewa namna Mukristo anafikiaka kukomala kiroho? (w21.08 uku. 8 fu. 4)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Mez 4:1-18 (th somo ya 12)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mutu anapendezwa kisha kupokea mwaliko wa Ukumbusho. (lmd somo ya 1 nukta ya 5)
5. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Alika ku Ukumbusho mutu mwenye unajuana naye. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)
6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini
(Dak. 5) Onyesho. ijwfq habari ya 19—Kichwa: Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Habafanyake Fete ya Pasaka? (lmd somo ya 3 nukta ya 4)
Wimbo 16
7. Video ya Mwezi wa 3 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo
(Dak. 10.) Muangalie VIDEO.
8. Kampanye ya Kualika Batu ku Ukumbusho Itaanza Siku ya Posho, Tarehe 15 Mwezi wa 3
(Dak. 5.) Hotuba yenye itatolewa na mwangalizi wa utumishi. Zungumuzia mipango yenye bazee balikamata juu ya kampanye, hotuba ya pekee, na Ukumbusho. Tia moyo bandugu na badada juu bahubiri zaidi mu Mwezi wa 3 na wa 4.
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 23 fu. 16-19, kisanduku ku uku. 188