Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 16
  • Tumusifu Yehova na Mwana Wake Mutiwa-Mafuta

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tumusifu Yehova na Mwana Wake Mutiwa-Mafuta
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tumusifu Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tutaenda Pamoja na Ninyi
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Tunapenda ‘Kuenda Pamoja’ na Wewe
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Tumusifu Mufalme Mupya wa Dunia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 16

WIMBO 16

Tumusifu Yehova na Mwana Wake Mutiwa-Mafuta

Maandishi

(Ufunuo 21:2)

  1. 1. Yehova alichagua

    Yesu atutawale.

    Atatutawala kwa haki,

    Tutaishi kwa furaha.

    (REFREE)

    Tusifu Yehova na Yesu, mutiwa-mafuta wake,

    Tufuate njia zake zote na kumutii sana.

    Tusifu Yehova na Yesu, mutawala wa Ufalme,

    Mwenye ataitukuza jina takatifu ya Mungu.

  2. 2. Mungu anawachagua

    Ndugu za Yesu Kristo.

    Watawale pamoja naye;

    Na kuleta Paradiso.

    (REFREE)

    Tusifu Yehova na Yesu, mutiwa-mafuta wake,

    Tufuate njia zake zote na kumutii sana.

    Tusifu Yehova na Yesu, mutawala wa Ufalme,

    Mwenye ataitukuza jina takatifu ya Mungu.

(Ona pia Mez. 29:4; Isa. 66:7, 8; Yoh. 10:4; Ufu. 5:9, 10.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine