Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 3 uku. 7
  • Tarehe 31/3–6/4

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 31/3–6/4
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 3 uku. 7

TAREHE 31/3–6/4

MEZALI 7

Wimbo 34 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Wakati wa zamani, mwanamuke moya kahaba anasimama ku mulango wa nyumba yake, na mwanaume moya kijana iko napita karibu ya kwake.

1. Epuka Kuangukia mu Mutego

(Dak. 10)

Kijana moya mwanaume anaamua kutembelea fasi kwenye kuko makahaba (Mez 7:7-9; w00 15/11 uku. 29 fu. 5)

Kahaba moya anamukaribia juu ya kumushawishi (Mez 7:10, 13-21; w00 15/11 uku. 30 fu. 3-5)

Juu alijitia yeye mwenyewe mu mutego, matokeo ya mubaya inaanza kumutesa (Mez 7:22, 23; w00 15/11 uku. 31 fu. 1)

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Mez 7:3—Kufunga amri za Mungu ku bidole byetu na kuziandika ku kibao ya moyo wetu maana yake nini? (w00 15/11 uku. 29 fu. 1)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Mez 7:6-20 (th somo ya 2)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Wakati ulimutembelea mara ya mwisho, mwenye nyumba alikubali mwaliko wa Ukumbusho na alipendezwa. (lmd somo ya 9 nukta ya 5)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Mu mazungumuzo yenye ilipita, ule mutu alikubali mwaliko na alipendezwa. (lmd somo ya 9 nukta ya 4)

6. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Mu mazungumuzo yenye ilipita, ule mutu alikubali mwaliko na alipendezwa. (lmd somo ya 9 nukta ya 3)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 13

7. Wakati Mwingine Wenye Kufaa (Lu 4:6)

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Muangalie VIDEO. Kisha uliza basikilizaji:

  • Namna gani Yesu alijaribiwa, na namna gani siye pia tunaweza kupata majaribu ya vile?

  • Namna gani tunaweza kushinda majaribu ya Shetani?

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 24 fu. 13-21

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 70 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine