TAREHE 7-13/4
MEZALI 8
Wimbo 89 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Sikiliza Hekima ya Yesu
(Dak. 10)
Yehova alimuumba Yesu, mwenye anafananishwa na hekima, ‘akiwa mwanzo wa njia yake’(Mez 8:1, 4, 22; cf uku. 131 fu. 7)
Wakati yenye Yesu alipitisha na Yehova mu kazi ya uumbaji, ilimusaidia akomalishe hekima na amupende zaidi Baba yake (Mez 8:30, 31; cf uku. 131-132 fu. 8-9)
Tutafaidika na hekima ya Yesu kama tunamusikiliza (Mez 8:32, 35; w09 15/4 uku. 31 fu. 14)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Mez 8:1-3—Namna gani hekima iko naendelea ‘kuita kwa sauti kubwa’? (g 5/14 uku. 16)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Mez 8:22-36 (th somo ya 10)
4. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Jibia maulizo ya mutu mwenye anapenda kujua namna Ukumbusho itafanyika, juu anapenda kuhuzuria. (lmd somo ya 9 nukta ya 3)
5. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Karibisha mutu mwenye anakuya ku Ukumbusho juu alikuta mwaliko ku mulango wake, na ujibie maulizo yake kisha programu. (lmd somo ya 3 nukta ya 5)
6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini
(Dak. 5) Hotuba. ijwbq habari ya 160—Kichwa: Juu ya Nini Yesu Anaitwa Mwana wa Mungu? (th somo ya 1)
Wimbo 105
7. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 25 fu. 1-4, kisanduku ku uku. 199