WIMBO 7
Yehova Ni Nguvu Yangu
1. Yehova ninakutegemea,
Uko nguvu na Mwokozi wangu.
Nitaendelea kuhubiri;
Wakatale ao wasikie.
(REFREE)
Yehova, weye njo nguvu yangu;
Nitatangaza jina yako.
Uko kama jiwe yenye nguvu.
Ni kwako njo ninakimbilia.
2. Tuko naona mwangaza wako
Kupitia kweli za Biblia.
Ninachunguza sheria yako.
Ninachagua Ufalme wako.
(REFREE)
Yehova, weye njo nguvu yangu;
Nitatangaza jina yako.
Uko kama jiwe yenye nguvu.
Ni kwako njo ninakimbilia.
3. Hata Shetani akinitesa,
Nitaendelea kukutii.
Hata nikipatwa na mateso,
Nitashikamana na weye tu.
(REFREE)
Yehova, weye njo nguvu yangu;
Nitatangaza jina yako.
Uko kama jiwe yenye nguvu.
Ni kwako njo ninakimbilia.
(Ona pia 2 Sa. 22:3; Zb. 18:2; Isa. 43:12.)