WIMBO 41
Tafazali, Sikia Sala Yangu
Maandishi
1. Baba yangu nakuimbia.
Nakuomba unisikie.
Jina yako ni kubwa sana.
(REFREE)
Baba, sikia sala yangu.
2. Eh! Yehova aksanti sana
Kwa sababu niko muzima.
Nashukuru kwa kunilinda.
(REFREE)
Baba, sikia sala yangu.
3. Ninapenda kufanya mema!
Nitembeze mu njia yako.
Nipe nguvu nivumilie.
(REFREE)
Baba, sikia sala yangu.
(Ona pia Kut. 22:27; Zb. 106:4; Yak. 5:11.)