WIMBO 29
Tuishi Kulingana na Jina Yetu
Maandishi
1. Mungu Mukubwa, uko Mweza-Yote,
Uko na haki, nguvu, upendo.
Hekima yote inatoka kwako,
Weye njo mwenye mamlaka yote.
Tunapenda kufanya kazi yako
ya kutangaza Ufalme wako.
(REFREE)
Ni pendeleo kuwa Mashahidi.
Na tutaishi kwa jina yetu!
2. Tunakutumikia kwa amani.
Upendo unatuunganisha.
Kufundisha kweli na kukusifu,
Kweli kuko natufurahisha.
Kuitwa Mashahidi wa Yehova,
Kunafanya tukutii sana.
(REFREE)
Ni pendeleo kuwa Mashahidi.
Na tutaishi kwa jina yetu!
(Ona pia Kum. 32:4; Zb. 43:3; Da. 2:20, 21.)