WIMBO 150
Umutafute Mungu ili Akukomboe
Maandishi
1. Leo watu wote
Wenye kupinga Yesu;
Mungu anasema kama
Hawataendelea.
Sasa Yesu Kristo
Ni Mufalme mbinguni.
Kwa hiyo, ataponda-ponda
Kila adui yake.
(REFREE)
Umutafute Yehova
Na ukuwe mwenye haki.
Mutegemee, muaminie;
Na tena uvumilie.
Naye atakukomboa
Hatakuacha.
2. Tuko nahubiri
Hii habari njema.
Wakatale, wasikie,
Siye hatutaacha.
Tukijaribiwa
Na hata tukiteswa,
Tutamulilia Yehova;
Atatusaidia.
(REFREE)
Umutafute Yehova
Na ukuwe mwenye haki.
Mutegemee, muaminie;
Na tena uvumilie.
Naye atakukomboa
Hatakuacha.
(Ona pia 1 Sa. 2:9; Zb. 2:2, 3, 9; Mez. 2:8; Mt. 6:33.)