WIMBO 93
Bariki Mikutano Yetu
Maandishi
1. Yehova utubariki
ku mikutano leo.
Tupatie roho yako,
ili ituongoze.
2. Utufundishe Biblia,
tujue kuhubiri
Na tukuwe na upendo,
na tukufurahishe.
3. Baba utusaidie
tukuwe na umoja.
Mambo yote tutafanya
ikuletee sifa.
(Ona pia Zb. 22:22; 34:3; Isa. 50:4.)