Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 96
  • Biblia Ni Kitabu ya Maana Sana

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Ni Kitabu ya Maana Sana
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Umutafute Mungu ili Akukomboe
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Bariki Mikutano Yetu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Unaweza “Kumjua Mungu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Kaza Moyo Wako juu ya Hazina za Kiroho
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 96

WIMBO 96

Biblia Ni Kitabu ya Maana Sana

Maandishi

(Mezali 2:1)

  1. 1. Kuko kitabu ya maana sana

    Yenye inaletaka furaha;

    Mafundisho yake iko na nguvu.

    Inafungua macho ya watu.

    Inaitwa Biblia Takatifu.

    Ni watu njo waliiandika.

    Waliongozwa na roho ya Mungu

    Waandike tu mawazo yake.

  2. 2. Walizungumuzia uumbaji,

    Vile ulimwengu ulianza,

    Ukamilifu wa mutu wa kwanza,

    Na kupotea kwa Paradiso.

    Tena walisema vile Shetani

    Hakumutii Yehova Mungu;

    Ile ikaleta zambi na kifo.

    Lakini tuko na tumaini.

  3. 3. Leo Yehova iko natawala

    Kupitia Mwana wake Yesu.

    Tuko nahubiri habari njema

    Ya baraka zenye ataleta.

    Ile habari iko mu Biblia

    Inatufurahisha kabisa

    Inatupatia amani sana

    Wakati tuko tunaisoma.

(Ona pia 2 Ti. 3:16; 2 Pe. 1:21.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine