- Habari za Kufanana na Zile
KUTOKA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Waisraeli wanaongezeka katika Misri (1-7)
Farao anakandamiza Waisraeli (8-14)
Wanamuke wa kuzalisha wenye kumuogopa Mungu wanaokoa uzima wa watoto (15-22)
2
Musa anazaliwa (1-4)
Binti ya Farao anamuchukua Musa kuwa mutoto wake (5-10)
Musa anakimbilia Midiani na anamuoa Sipora (11-22)
Mungu anasikia kilio cha maumivu cha Waisraeli (23-25)
3
Musa na muti mudogo wa miiba wenye kuwaka moto (1-12)
Yehova anaeleza maana ya jina Lake (13-15)
Yehova anamupatia Musa maagizo (16-22)
4
Alama tatu zenye Musa alipaswa kufanya (1-9)
Musa anajisikia kuwa hastahili (10-17)
Musa anarudia Misri (18-26)
Musa anakutana tena na Haruni (27-31)
5
Musa na Haruni mbele ya Farao (1-5)
Ukandamizaji unaongezeka (6-18)
Israeli wanamulaumu Musa na Haruni (19-23)
6
Ahadi ya kuwekwa huru inarudiliwa (1-13)
Ukoo wa Musa na Haruni (14-27)
Musa anapaswa kufika tena mbele ya Farao (28-30)
7
Yehova anamutia Musa nguvu (1-7)
Fimbo ya Haruni inageuka kuwa nyoka mukubwa (8-13)
Pigo la 1: maji yanageuka kuwa damu (14-25)
8
9
Pigo la 5: mifugo inakufa (1-7)
Pigo la 6: majipu yanakuwa juu ya wanadamu na wanyama (8-12)
Pigo la 7: mvua ya majiwe (13-35)
10
Pigo la 8: nzige (1-20)
Pigo la 9: giza (21-29)
11
12
Kuanzishwa kwa Pasaka (1-28)
Pigo la 10: wazaliwa wa kwanza wanauawa (29-32)
Israeli wanatoka Misri (33-42)
Maagizo juu ya kula Pasaka (43-51)
13
Kila muzaliwa wa kwanza wa kiume ni wa Yehova (1, 2)
Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (3-10)
Kila muzaliwa wa kwanza wa kiume anapaswa kutolewa kwa Mungu (11-16)
Israeli wanaelekezwa kwenye Bahari Nyekundu (17-20)
Nguzo ya wingu na ya moto (21, 22)
14
Israeli wanafika kwenye bahari (1-4)
Farao anafuatilia Israeli (5-14)
Israeli wanavuka Bahari Nyekundu (15-25)
Wamisri wanazama katika bahari (26-28)
Israeli wanamuamini Yehova (29-31)
15
Wimbo wa ushindi wa Musa na Israeli (1-19)
Miriamu anaimba kwa kuitikia wanaume (20, 21)
Maji machungu yanageuzwa kuwa matamu (22-27)
16
Watu wananungunika juu ya chakula (1-3)
Yehova anasikia manunguniko hayo (4-12)
Wanapewa mana na ndege kware (13-21)
Hakuna mana siku ya Sabato (22-30)
Mana inawekwa ili kuwa kikumbusho (31-36)
17
Malalamiko juu ya kukosa maji kule Horebu (1-4)
Maji yanatoka katika mwamba (5-7)
Waamaleki wanashambulia na kupata ushindi (8-16)
18
19
20
21
22
23
Maamuzi ya hukumu kwa ajili ya Israeli (1-19)
Malaika anaongoza Israeli (20-26)
Kukamata inchi na mipaka ya inchi hiyo (27-33)
24
25
26
27
28
Nguo za kikuhani (1-5)
Efodi (6-14)
Kifuko cha kifua (15-30)
Koti yenye haina mikono (31-35)
Kilemba chenye bamba la zahabu (36-39)
Nguo zingine za kikuhani (40-43)
29
30
Mazabahu ya uvumba (1-10)
Kuhesabiwa kwa watu na feza za zabihu kwa ajili ya kufunika zambi (11-16)
Beseni ya shaba ya kunawia (17-21)
Muchanganyiko wa pekee wa mafuta ya kutia mafuta (22-33)
Vitu vya kutumia ili kutengeneza uvumba mutakatifu (34-38)
31
Mafundi wanajazwa roho ya Mungu (1-11)
Sabato, alama kati ya Mungu na Israeli (12-17)
Mabamba mbili ya majiwe (18)
32
33
Ujumbe wa Mungu wa kukaripia Israeli (1-6)
Hema ya mukutano inje ya kambi (7-11)
Musa anaomba aone utukufu wa Yehova (12-23)
34
Mabamba mapya ya majiwe yanatengenezwa (1-4)
Musa anaona utukufu wa Yehova (5-9)
Maagizo ya agano yanarudiliwa (10-28)
Uso wa Musa unatoa miali (29-35)
35
Maagizo juu ya Sabato (1-3)
Michango kwa ajili ya tabenakulo (4-29)
Bezaleli na Oholiabu wanajazwa roho (30-35)
36
37
38
39
Kutengeneza nguo za kikuhani (1)
Efodi (2-7)
Kifuko cha kifua (8-21)
Koti yenye haina mikono (22-26)
Nguo zingine za kikuhani (27-29)
Bamba la zahabu (30, 31)
Musa anachunguza tabenakulo (32-43)
40