- Habari za Kufanana na Zile
1
2
Eliya anachukuliwa katika zoruba yenye upepo mukali (1-18)
Elisha anaponyesha maji ya Yeriko (19-22)
Dubu wanaua vijana wadogo kutoka Beteli (23-25)
3
Yehoramu, mufalme wa Israeli (1-3)
Moabu wanaasi Israeli (4-25)
Moabu wanashindwa (26, 27)
4
Elisha anafanya mafuta ya mujane yaongezeke (1-7)
Mwanamuke Mushunamu anaonyesha ukaribishaji-wageni (8-16)
Mwanamuke anapewa zawabu ya kupata mwana; ule mwana anakufa (17-31)
Elisha anamufufua ule mutoto mwenye alikufa (32-37)
Elisha anafanya muchuzi uweze kukuliwa (38-41)
Elisha anafanya mikate iongezeke (42-44)
5
6
Elisha anafanya kichwa cha shoka kielee juu ya maji (1-7)
Elisha anapambana na Wasiria (8-23)
Macho ya mutumishi wa Elisha yanafunguliwa (16, 17)
Wasiria wanapofushwa akili (18, 19)
Njaa katika muji wa Samaria wenye kuzungukwa kwa ajili ya vita (24-33)
7
Elisha anatabiri mwisho wa njaa (1, 2)
Chakula kinapatikana katika kambi ya Wasiria yenye iliachwa (3-15)
Unabii wa Elisha unatimia (16-20)
8
Mwanamuke Mushunamu anarudishiwa shamba lake (1-6)
Elisha, Ben-hadadi, na Hazaeli (7-15)
Yehoramu, mufalme wa Yuda (16-24)
Ahazia, mufalme wa Yuda (25-29)
9
Yehu anatiwa mafuta kuwa mufalme wa Israeli (1-13)
Yehu anaua Yehoramu na Ahazia (14-29)
Yezebeli anauawa; imbwa wanakula mwili wake (30-37)
10
Yehu anaua nyumba ya Ahabu (1-17)
Yehu anaua waabudu wa Baali (18-27)
Maelezo mafupi juu ya utawala wa Yehu (28-36)
11
Atalia anajiweka kwenye kiti cha ufalme (1-3)
Yehoashi anawekwa kuwa mufalme kwa uficho (4-12)
Atalia anauawa (13-16)
Mabadiliko yenye yalifanywa na Yehoyada (17-21)
12
Yehoashi, mufalme wa Yuda (1-3)
Yehoashi anatengeneza hekalu (4-16)
Siria inashambulia (17, 18)
Yehoashi anauawa (19-21)
13
Yehoahazi, mufalme wa Israeli (1-9)
Yehoashi, mufalme wa Israeli (10-13)
Elisha anapima bidii ya Yehoashi (14-19)
Kifo cha Elisha; mifupa yake inamufufua mutu (20, 21)
Unabii wa mwisho wa Elisha unatimizwa (22-25)
14
Amazia, mufalme wa Yuda (1-6)
Vita pamoja na Edomu na pamoja na Israeli (7-14)
Kifo cha Yehoashi wa Israeli (15, 16)
Kifo cha Amazia (17-22)
Yeroboamu wa Pili, mufalme wa Israeli (23-29)
15
Azaria, mufalme wa Yuda (1-7)
Wafalme wa mwisho wa Israeli: Zekaria (8-12), Shalumu (13-16), Menahemu (17-22), Pekahia (23-26), Peka (27-31)
Yotamu, mufalme wa Yuda (32-38)
16
Ahazi, mufalme wa Yuda (1-6)
Ahazi anapatia Waashuru rushwa (7-9)
Ahazi anaiga mazabahu ya wapagani (10-18)
Kifo cha Ahazi (19, 20)
17
Hoshea, mufalme wa Israeli (1-4)
Kuanguka kwa Israeli (5, 6)
Waisraeli wanahamishwa kwa sababu ya uasi-imani (7-23)
Wageni wanaletwa katika miji ya Samaria (24-26)
Muchanganyiko wa dini katika Samaria (27-41)
18
Hezekia, mufalme wa Yuda (1-8)
Maelezo juu ya kuanguka kwa Israeli (9-12)
Senakeribu anashambulia Yuda (13-18)
Rabshake anamuchokoza Yehova (19-37)
19
Hezekia anatafuta musaada wa Mungu kupitia Isaya (1-7)
Senakeribu anaogopesha Yerusalemu (8-13)
Sala ya Hezekia (14-19)
Isaya anatoa jibu la Mungu (20-34)
Malaika anaua Waashuru elfu mia moja makumi munane na tano (35-37)
20
Ugonjwa wa Hezekia na kupona kwake (1-11)
Wajumbe kutoka Babiloni (12-19)
Kifo cha Hezekia (20, 21)
21
Manase, mufalme wa Yuda; umwangaji wake wa damu (1-18)
Amoni, mufalme wa Yuda (19-26)
22
Yosia, mufalme wa Yuda (1, 2)
Maagizo kwa ajili ya kutengeneza hekalu (3-7)
Kitabu cha Sheria kinapatikana (8-13)
Hulda anatoa unabii wa musiba (14-20)
23
Mabadiliko yenye Yosia alifanya (1-20)
Pasaka inafanywa (21-23)
Mabadiliko mengine yenye Yosia alifanya (24-27)
Kifo cha Yosia (28-30)
Yehoahazi, mufalme wa Yuda (31-33)
Yehoyakimu, mufalme wa Yuda (34-37)
24
Uasi na kifo cha Yehoyakimu (1-7)
Yehoyakini, mufalme wa Yuda (8, 9)
Kuhamishwa kwa mara ya kwanza kuenda Babiloni (10-17)
Sedekia, mufalme wa Yuda; uasi wake (18-20)
25
Nebukadneza anazunguka Yerusalemu kwa ajili ya vita (1-7)
Kuharibiwa kwa Yerusalemu na hekalu lake; kuhamishwa kwa mara ya pili (8-21)
Gedalia anafanywa kuwa gavana (22-24)
Gedalia anauawa; watu wanakimbilia Misri (25, 26)
Yehoyakini anaachiliwa huru katika Babiloni (27-30)