- Habari za Kufanana na Zile
LUKA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Ujumbe kwa Teofilo (1-4)
Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yohana Mubatizaji (5-25)
Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yesu (26-38)
Maria anamutembelea Elizabeti (39-45)
Maria anamutukuza Yehova (46-56)
Yohana anazaliwa na anapewa jina (57-66)
Unabii wa Zekaria (67-80)
2
Kuzaliwa kwa Yesu (1-7)
Malaika wanatokea wachungaji (8-20)
Kutahiriwa na kutakaswa (21-24)
Simeoni anamuona Kristo (25-35)
Ana anasema juu ya mutoto (36-38)
Wanarudia Nazareti (39, 40)
Yesu akiwa na miaka kumi na mbili iko katika hekalu (41-52)
3
Mwanzo wa kazi ya Yohana (1, 2)
Yohana anahubiri ubatizo (3-20)
Yesu anabatizwa (21, 22)
Ukoo wa Yesu Kristo (23-38)
4
Ibilisi anamujaribu Yesu (1-13)
Yesu anaanza kuhubiri katika Galilaya (14, 15)
Yesu anakataliwa katika Nazareti (16-30)
Yesu katika sinagogi kule Kapernaumu (31-37)
Mama-mukwe wa Simoni na wagonjwa wengine wanaponyeshwa (38-41)
Watu wanamupata Yesu mahali kwenye hakuna watu (42-44)
5
Kuvua samaki kwa njia ya muujiza; wanafunzi wa kwanza (1-11)
Mutu mwenye ukoma anaponyeshwa (12-16)
Yesu anamuponyesha mutu mwenye kupooza (17-26)
Yesu anamuita Lawi (27-32)
Ulizo juu ya kufunga (33-39)
6
Yesu ni “Bwana wa Sabato” (1-5)
Mutu mwenye mukono wenye kukauka anaponyeshwa (6-11)
Mitume kumi na mbili (12-16)
Yesu anafundisha na kuponyesha (17-19)
Furaha na ole (20-26)
Kupenda maadui (27-36)
Muache kuhukumu (37-42)
Muti unajulikana kwa matunda yake (43-45)
Nyumba yenye ilijengwa muzuri; nyumba yenye haina musingi wenye nguvu (46-49)
7
Imani ya ofisa mumoja wa jeshi (1-10)
Yesu anamufufua mwana wa mujane wa Naini (11-17)
Yohana Mubatizaji anasifiwa (18-30)
Kizazi chenye hakina imani kinahukumiwa (31-35)
Mwanamuke mutenda-zambi anasamehewa (36-50)
8
Wanamuke wenye walimufuata Yesu (1-3)
Mufano wa mupandaji (4-8)
Sababu gani Yesu alitumia mifano (9, 10)
Mufano wa mupandaji unafasiriwa (11-15)
Taa haipaswe kufunikwa (16-18)
Mama na ndugu za Yesu (19-21)
Yesu anatuliza zoruba (22-25)
Yesu anatuma pepo wachafu waingie ndani ya nguruwe (26-39)
Binti ya Yairo; mwanamuke fulani anagusa nguo za inje za Yesu (40-56)
9
Wale Kumi na Mbili wanapewa maagizo juu ya utumishi (1-6)
Herode anavurugika juu ya Yesu (7-9)
Yesu anakulisha wanaume elfu tano (10-17)
Petro anatambua Kristo (18-20)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa (21, 22)
Mambo ya kufanya ili kuwa mwanafunzi wa kweli (23-27)
Yesu anageuzwa sura (28-36)
Kijana mwanaume mwenye pepo muchafu anaponyeshwa (37-43a)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (43b-45)
Wanafunzi wanabishana juu ya ukubwa (46-48)
Kila mutu mwenye hatupinge iko upande wetu (49, 50)
Yesu anakataliwa katika kijiji kimoja cha Wasamaria (51-56)
Namna ya kumufuata Yesu (57-62)
10
Yesu anatuma wale makumi saba (1-12)
Ole wa miji yenye haitubu (13-16)
Wale makumi saba wanarudia (17-20)
Yesu anamusifu Baba yake kwa kupendelea wanyenyekevu (21-24)
Mufano wa Musamaria mwema (25-37)
Yesu anamutembelea Marta na Maria (38-42)
11
Namna ya kusali (1-13)
Pepo wachafu wanafukuzwa kupitia kidole cha Mungu (14-23)
Roho muchafu anarudia (24-26)
Furaha ya kweli (27, 28)
Alama ya Yona (29-32)
Taa ya mwili (33-36)
Ole wao wanafiki wa kidini (37-54)
12
Chachu ya Wafarisayo (1-3)
Mumuogope Mungu, hapana wanadamu (4-7)
Kukubali umoja na Kristo (8-12)
Mufano wa tajiri mupumbavu (13-21)
Muache kuhangaika (22-34)
Kukesha (35-40)
Musimamizi-nyumba muaminifu na musimamizi-nyumba mwenye haiko muaminifu (41-48)
Hapana amani, lakini mugawanyiko (49-53)
Ulazima wa kuchunguza wakati (54-56)
Kuelewana (57-59)
13
Kutubu ao kuharibiwa (1-5)
Mufano wa muti wa tini wenye hauzae matunda (6-9)
Mwanamuke mulemavu anaponyeshwa siku ya Sabato (10-17)
Mufano wa mbegu ya haradali na wa chachu (18-21)
Inaomba kujikaza ili kuingia kupitia mulango mwembamba (22-30)
Herode, “ule mbweha” (31-33)
Yesu anaomboleza juu ya Yerusalemu (34, 35)
14
Mutu mwenye ugonjwa wa kuvimbisha mwili anaponyeshwa siku ya Sabato (1-6)
Ukuwe mugeni munyenyekevu (7-11)
Ualike wale wenye hawawezi kukulipa (12-14)
Mufano wa waalikwa wenye walitoa visingizio (15-24)
Garama ya kuwa mwanafunzi (25-33)
Chumvi yenye inapoteza nguvu yake (34, 35)
15
Mufano wa kondoo mwenye alipotea (1-7)
Mufano wa feza ya kichele yenye ilipotea (8-10)
Mufano wa mwana mupotevu (11-32)
16
Mufano wa musimamizi-nyumba mwenye haiko mwenye haki (1-13)
Sheria na Ufalme wa Mungu (14-18)
Mufano wa tajiri na Lazaro (19-31)
17
Kukwazika, musamaha, na imani (1-6)
Watumwa wenye hawana mafaa yoyote (7-10)
Watu kumi wenye ukoma wanaponyeshwa (11-19)
Kuja kwa Ufalme wa Mungu (20-37)
18
Mufano wa mujane mwenye kuomba bila kuacha (1-8)
Mufarisayo na mukusanya-kodi (9-14)
Yesu na watoto (15-17)
Ulizo la mutawala tajiri (18-30)
Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (31-34)
Kipofu mwenye kuomba-omba anaona tena (35-43)
19
Yesu anamutembelea Zakayo (1-10)
Mufano wa mina kumi (11-27)
Yesu anaingia kwa ushindi (28-40)
Yesu analilia muji wa Yerusalemu (41-44)
Yesu anasafisha hekalu (45-48)
20
Mamlaka ya Yesu yanatiliwa mashaka (1-8)
Mufano wa walimaji wauaji (9-19)
Mungu na Kaisari (20-26)
Ulizo juu ya ufufuo (27-40)
Je, Kristo ni Mwana wa Daudi? (41-44)
Onyo juu ya waandishi (45-47)
21
Mujane maskini na feza mbili za vichele (1-4)
ALAMA YA MAMBO YENYE YATAKUJA (5-36)
Vita, matetemeko makubwa ya inchi, magonjwa ya kuambukiza, upungufu wa chakula (10, 11)
Yerusalemu itazungukwa na majeshi (20)
Nyakati zenye ziliwekwa za mataifa (24)
Kuja kwa Mwana wa binadamu (27)
Mufano wa muti wa tini (29-33)
Muendelee kukesha (34-36)
Yesu anafundisha katika hekalu (37, 38)
22
Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1-6)
Matayarisho ya Pasaka ya mwisho (7-13)
Chakula cha Mangaribi cha Bwana kinaanzishwa (14-20)
‘Mutu mwenye kunisaliti iko pamoja na mimi kwenye meza’ (21-23)
Mabishano makali juu ya ukubwa (24-27)
Yesu anafanya agano kwa ajili ya ufalme (28-30)
Yesu anatabiri kama Petro atamukana (31-34)
Ulazima wa kuwa tayari; panga mbili (35-38)
Sala ya Yesu kwenye Mulima wa Mizeituni (39-46)
Yesu anakamatwa (47-53)
Petro anamukana Yesu (54-62)
Yesu anachekelewa (63-65)
Yesu anasamba mbele ya Sanhedrini (66-71)
23
24
Yesu anafufuliwa (1-12)
Wakiwa katika njia kuelekea Emau (13-35)
Yesu anatokea wanafunzi (36-49)
Yesu anapanda mbinguni (50-53)