- Habari za Kufanana na Zile
WAROMA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Salamu (1-7)
Paulo anatamani kutembelea Roma (8-15)
Mwenye haki ataishi kwa imani (16, 17)
Watu wenye hawamuogope Mungu hawana sababu ya kujitetea (18-32)
2
Hukumu ya Mungu juu ya Wayahudi na Wagiriki (1-16)
Wayahudi na Sheria (17-24)
Kutahiriwa kwa moyo (25-29)
3
“Mungu aonekane kuwa wa kweli” (1-8)
Wayahudi na Wagiriki pia wako chini ya zambi (9-20)
Watu wanatangazwa kuwa wenye haki kupitia imani (21-31)
4
5
6
Uzima mupya kupitia ubatizo katika Kristo (1-11)
Musiache zambi itawale katika miili yenu (12-14)
Kuacha utumwa wa zambi na kuwa watumwa wa Mungu (15-23)
7
Kuwekwa huru kutoka katika Sheria kunaelezwa kupitia mufano (1-6)
Zambi inajulikana kupitia Sheria (7-12)
Kupambana na zambi (13-25)
8
Uzima na uhuru kupitia roho (1-11)
Roho ya kuwa wana inatoa ushahidi (12-17)
Uumbaji unangojea uhuru wa wana wa Mungu (18-25)
‘Roho inatuombea’ (26, 27)
Kuchaguliwa na Mungu mbele ya wakati (28-30)
Kupata ushindi kupitia upendo wa Mungu (31-39)
9
Huzuni ya Paulo juu ya Israeli wa kimwili (1-5)
Uzao wa kweli wa Abrahamu (6-13)
Mungu akichagua mutu hakuna mwenye anaweza kupinga (14-26)
Ni mabaki tu ndio wataokolewa (27-29)
Waisraeli wanajikwaa (30-33)
10
11
Waisraeli hawakukataliwa wote (1-16)
Mufano wa muzeituni (17-32)
Hekima ya Mungu ni kubwa sana (33-36)
12
Mutoe miili yenu ikuwe zabihu yenye uzima (1, 2)
Zawadi mbalimbali lakini mwili mumoja (3-8)
Mashauri juu ya maisha ya Wakristo wa kweli (9-21)
13
Kujitiisha chini ya mamlaka (1-7)
Upendo unatimiza Sheria (8-10)
Mutembee kama wakati wa muchana (11-14)
14
Musihukumu wengine (1-12)
Musikwaze wengine (13-18)
Mujikaze kupata amani na umoja (19-23)
15
Mukaribishane kama vile Kristo alifanya (1-13)
Paulo, mutumishi kwa watu wa mataifa (14-21)
Mipango ya safari za Paulo (22-33)
16
Paulo anamujulisha mutumishi Fibi kwa Wakristo wa Roma (1, 2)
Salamu kwa Wakristo wa Roma (3-16)
Maonyo juu ya migawanyiko (17-20)
Salamu kutoka kwa wenye kufanya kazi pamoja na Paulo (21-24)
Siri takatifu inafunuliwa sasa (25-27)