Utangulizi
Kuacha tabia za mubaya ili kuwa na tabia za muzuri kunaomba wakati. Lakini, kuko faida?
Biblia inasema hivi:
“Mwisho wa jambo ni bora [ao, muzuri zaidi] kuliko mwanzo wake.”—Mhubiri 7:8.
Gazeti hili linazungumuzia kanuni za Biblia zenye kuonyesha namna watu wanaweza kuwa na uwezo juu ya tabia zao ili wapate faida.