Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • g21 na. 1 uku. 15
  • Unaweza Kupata Hekima

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Unaweza Kupata Hekima
  • Amuka!—2021
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu Anapenda Hekima Yake Ikuletee Faida
  • Unaweza Kupata Hekima ya Mungu
  • Ni Kitabu Gani Chenye Kinatusaidia Kumusikiliza Mungu?
    Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Mungu Anakuwaka? Faida 4 za Kujua Hivyo
    Amuka!—2015
  • Mambo ya Muzuri na ya Mubaya: Uamuzi Wenye Unapaswa Kukamata
    Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2024
  • Biblia: Kitabu Kutoka kwa Mungu
    Biblia Inatufundisha Nini?
Ona Habari Zaidi
Amuka!—2021
g21 na. 1 uku. 15

Unaweza Kupata Hekima

“Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu.” (2 Timoteo 3:16) Mu hii andiko, neno “limeongozwa” inamaanisha kama Mungu Mweza-Yote alitia mawazo yake mu akili ya waandikaji wa Biblia.

MAELEZO FULANI JUU YA BIBLIA

  • Sehemu za kitabu.

    66

    Hesabu ya vitabu, ao sehemu zenye kufanyiza Biblia.

  • Mukono wenye kuandika, na mwangaza kutoka juu.

    40

    Hesabu ya wanaume wenye Mungu alitumia juu ya kuandika Biblia.

  • Chupa ya muchanga ya kuhesabia wakati.

    1513 M.K.Y.

    Mwaka wenye Biblia ilianza kuandikwa kumepita miaka zaidi ya 3 500.

  • Herufi za luga mbalimbali.

    Zaidi ya 3 000

    Maluga yenye Biblia inapatikana ndani, yote muzima ao sehemu.

Mungu Anapenda Hekima Yake Ikuletee Faida

“Mimi, Yehova, . . . Mwenye anakufundisha ili ujipatie faida, Mwenye anakuongoza katika njia yenye unapaswa kutembea ndani yake. Kama tu ungesikiliza amri zangu! Basi amani yako ingekuwa kama vile muto na haki yako kama mawimbi ya bahari.”​—ISAYA 48:17, 18.

Ona ile maneno sawa vile mualiko wenye Mungu anakupatia. Anapenda ukuwe na amani ya moyo, furaha ya milele, na anaweza kukusaidia upate ile mambo yote.

Unaweza Kupata Hekima ya Mungu

“Katika mataifa yote, lazima habari njema ihubiriwe.”​—MARKO 13:10.

Mu ile “habari njema” muko ndani mambo ya mingi yenye Yehova anatulaga, sawa vile, kumaliza mateso, kufanya hii dunia ikuwe paradiso, na kufufula wapendwa wetu wenye walishakakufa. Mashahidi wa Yehova wako nahubiri mu dunia yote ile habari njema yenye inatoka mu Biblia.

Wakati Nilisoma Biblia Sikuvurugika Tena

“Tangu utoto, nilikuwa na mawazo yenye ilinivuruga sana juu ya Muumbaji. Nilikuwa najiuliza: ‘Inawezekana namna gani kila taifa ikuwe na mungu wake ao na muumbaji wake?’ Kwa hiyo, nilifurahi wakati nilisoma Waroma 3:29 yenye inasema kama Mungu wa kweli ni ‘Mungu wa watu wa mataifa.’ Tena nilijifunza kama jina yake ni Yehova. Na anapenda tukuwe marafiki wake.”​—Rakesh.

Rakesh.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine