Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ll sehemu 4 uku. 10-11
  • Walimusikiliza Shetani, Walipatwa na Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Walimusikiliza Shetani, Walipatwa na Nini?
  • Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maisha Ilikuwa Namna Gani mu Paradiso?
    Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Sehemu ya 4
    Umusikilize Mungu
  • Watu Waliokufa Wako Wapi?
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
  • Juu ya Nini Tunazeeka na Kufa?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2019
Ona Habari Zaidi
Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
ll sehemu 4 uku. 10-11

SEHEMU YA 4

Walimusikiliza Shetani, Walipatwa na Nini?

Adamu na Eva hawakumutii ao kumusikia Mungu, njo maana walikufa. Mwanzo 3:​6, 23

Eva anakula tunda lenye Mungu alimukataza na kisha anamupatia Adamu naye

Eva alisikiliza nyoka na akakula tunda lenye Mungu aliwakataza. Kisha, akamupatia Adamu tunda hilo naye akakula.

Adamu na Eva wanatoka mu Paradiso kwenye walikuwa wanaishi

Jambo lenye walifanya lilikuwa la mubaya; walifanya zambi. Mungu aliwafukuza mu Paradiso, kwenye walikuwa wanaishi.

Adamu na Eva wanazeeka na kisha wanakufa

Adamu na Eva na watoto wao wakaanza kuishi maisha ya nguvu sana. Adamu na Eva wakazeeka na kisha wakakufa. Wakati walikufa hawakuenda mbinguni ao mu moto wa mateso. Hawakuendelea kuishi.

Watu wenye wamekufa hawana uzima, kama vile mavumbi haina uzima. Mwanzo 3:​19

Watu wa desturi mbalimbali kwa vipindi mbalimbali vya wakati

Tunakufaka juu sisi wote tuko watoto wa Adamu na Eva. Watu wenye wamekufa hawawezi kuona ao kusikia ao kufanya hata kitu fulani.​—Muhubiri 9:​5, 10.

Mutoto mumoja mwanamuke anakufa na watu wa familia yake wanahuzunika

Yehova hakupenda watu wakuwe wanakufa. Hivi karibuni, atafufua watu wenye wamekufa. Kama wanamusikiliza, wataishi milele.

  • Juu ya nini tunakufaka?​—Waroma 5:​12.

  • Kifo hakitakuwa tena.​—1 Wakorinto 15:26.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine