Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ll sehemu 12 uku. 26-27
  • Unaweza Kufanya Nini ili Ukuwe na Maisha ya Familia Yenye Furaha?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Unaweza Kufanya Nini ili Ukuwe na Maisha ya Familia Yenye Furaha?
  • Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Familia Yako Inaweza Kuwa na Furaha
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Maisha ya Familia Yanayomupendeza Mungu
    Mungu Anataka Nini Kwetu?
  • Sehemu ya 12
    Umusikilize Mungu
  • Unaweza Kufanya Nini Juu Familia Yako Ikuwe na Furaha?​—Sehemu ya 1
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
Ona Habari Zaidi
Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
ll sehemu 12 uku. 26-27

SEHEMU YA 12

Unaweza Kufanya Nini ili Ukuwe na Maisha ya Familia Yenye Furaha?

Upendo ni jambo la maana ili familia ikuwe na furaha. Waefeso 5:33

Adamu na Eva wako mu bustani ya Edeni

Mungu anaomba ndoa ikuwe kati ya mwanaume mumoja na mwanamuke mumoja.

Bwana anahangaikia bibi yake mwenye kuwa mugonjwa; bibi amepikia bwana yake chakula

Bwana mwenye upendo anatendeaka bibi yake kwa upole na anajikaza kumuelewa.

Bibi anapaswa kuunga mukono bwana yake.

Baba mumoja anatia moyo mutoto wake mwanaume afuate wakati wa mukutano wa Kikristo

Watoto wanapaswa kutii ao kusikia wazazi wao.

Ukuwe mupole na muaminifu na usikuwe mukali. Wakolosai 3:5, 8-10

Wazazi wanafundisha mutoto wao mwanamuke juu ya Biblia

Neno la Mungu linasema kama bwana anapaswa kumupenda bibi yake kama mwili wake mwenyewe, na bibi naye anapaswa kumuheshimia sana bwana yake.

Bibi mumoja anahuzunika wakati bwana yake anaangalia mwanamuke mwingine kwa kumutamani

Ni mubaya bibi ao bwana kufanya kitendo cha ndoa na mutu mwingine. Tena, ni mubaya kuwa na bibi wengi ao kuwa na bwana wengi.

Watu wa familia moja wanaangalia namna jua linashuka

Neno la Yehova linafundisha watu wa familia mambo yenye wanapaswa kufanya ili wakuwe na furaha.

  • Uendelee kuwa na mwenendo muzuri.​—1 Wakorinto 6:18.

  • Upende watoto wako, uwafundishe, na uwalinde.​—Kumbukumbu la Torati 6:4-9.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine