Somo 4
Leo mvua inanyesha.
“Siwezi kutoka inje.
Sababu gani mvua haiishe?”
Safi analia.
Kisha anashangaa!
Jua inatokea.
Mvua imekwisha.
Safi anafurahi sana!
Anakimbilia inje, anaruka-ruka. Safi anaona vitu vyenye kupendeza.
Safi anasema: “Sikujua kama mvua inayotoka kwa Mungu inakomalisha maua!”
MAZOEZI
Umusomee mutoto wako:
Umuombe aonyeshe:
Dirisha Ndege Safi
Muti Maua
Umuombe mutoto wako aonyeshe vitu visivyoonekana muzuri.
Kidudu Avion
Umuulize mutoto wako:
Sababu gani Yehova anafanya mvua inyeshe?
[Picha katika ukurasa wa 10]
[Picha katika ukurasa wa 10]
[Picha katika ukurasa wa 11]