Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 5
  • Kazi za Mungu Ni za Ajabu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kazi za Mungu Ni za Ajabu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Kwa Imani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mungu Anakuelewa?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 5

WIMBO 5

Kazi za Mungu Ni za Ajabu

Maandishi

(Zaburi 139)

  1. 1. Yah, unanijua muzuri,

    Nikilala na nikilamuka.

    Unajua mawazo yangu yote,

    Na pia maneno na

    matendo yangu.

    Uliona mifupa yangu

    Mbele mama yangu anizale.

    Uliniumba kwa ajabu sana,

    Unastahili sifa na

    utukufu.

    Yehova uko na hekima sana;

    Moyo wangu unajua vile.

    Na nikipotea katika giza,

    Roho yako itaniongoza.

    Baba, hata niende wapi,

    kwa kweli weye utaniona.

    Siwezi kufichama mu kaburi,

    mu bahari, mu giza,

    wala mbinguni.

(Ona pia Zb. 66:3; 94:19; Yer. 17:10.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine