UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 135-141
Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu
Daudi alitafakari juu ya sifa za Mungu zenye kuonekana kupitia uumbaji wake. Alimutumainia Yehova na alitumia maisha yake ili kumutumikia.
Kufikiri sana juu ya uumbaji kulimuchochea Daudi amusifu Yehova:
“Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha”
“Mifupa yangu haikufichwa kwako nilipofanyizwa katika siri, nilipoungwa katika sehemu za chini kabisa za dunia”
“Macho yako yalikiona kiini-tete changu, na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa”