Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 9 uku. 5
  • Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu Anakuelewa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Somo 6
    Ninajifunza Biblia
  • Kazi za Mungu Ni za Ajabu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Uzima Ulianza Namna Gani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 9 uku. 5

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 135-141

Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu

Daudi alitafakari juu ya sifa za Mungu zenye kuonekana kupitia uumbaji wake. Alimutumainia Yehova na alitumia maisha yake ili kumutumikia.

Mwanamuke mwenye mimba na bwana yake wakati wa zamani

Kufikiri sana juu ya uumbaji kulimuchochea Daudi amusifu Yehova:

139:14

  • “Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha”

139:15

  • “Mifupa yangu haikufichwa kwako nilipofanyizwa katika siri, nilipoungwa katika sehemu za chini kabisa za dunia”

139:16

  • “Macho yako yalikiona kiini-tete changu, na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine