Somo 6
Angalia vidole vya mikono yako, na uchezeshe-chezeshe vidole vya miguu yako.
Onyesha masikio yako na kisha uonyeshe pua yako.
Angalia miguu yako inayokusaidia kukimbia, kuruka na kuzunguka, na kufurahia michezo mbalimbali!
Angalia katika kioo, unaona nini?
Yehova aliumba kila kitu kwa njia ya ajabu!
MAZOEZI
Umusomee mutoto wako:
Umuombe aonyeshe:
Vidole vya mikono yake Vidole vya miguu yake Pua yake
Masikio yake Kinywa chake
Umuombe mutoto wako aonyeshe vitu visivyoonekana muzuri.
Lipondo Paka
Umuulize mutoto wako:
Ni nani aliyetuumba mimi na wewe?
[Picha katika ukurasa wa 14]
[Picha katika ukurasa wa 15]
[Picha katika ukurasa wa 15]
[Picha katika ukurasa wa 16]