WIMBO 13
Kristo Ni Mufano Muzuri
Maandishi
1. Yehova ni mwema
na mwenye upendo,
Alimutuma Yesu ku dunia.
Kusudi akufe
na kutukomboa,
Na kutukuza jina ya Mungu.
2. Kristo alipenda
Neno ya Yehova.
Kwake ilikuwa kama chakula.
Ilimupatia
hekima na nguvu,
Alimufurahisha Yehova.
3. Yesu ni mufano
muzuri kabisa.
Na kama yeye, tumusifu Mungu;
Tena tufuate
njia yake yote.
Kisha Mungu atatubariki.
(Ona pia Yoh. 8:29; Efe. 5:2; Flp. 2:5-7.)