Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 18
  • Tuko na Shukrani Juu ya Bei ya Ukombozi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuko na Shukrani Juu ya Bei ya Ukombozi
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ulimutoa Mwana Wako Mupendwa
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Furaha Yetu ya Milele Inatoka kwa Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Nitatembea kwa Uaminifu-Mushikamanifu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Atakupatia Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 18

WIMBO 18

Tuko na Shukrani juu ya Bei ya Ukombozi

Maandishi

(Luka 22:20)

  1. 1. Tuko hapa mbele yako

    Eh! Yehova

    Ili kukushukuru

    kwa upendo wako.

    Mwana wako mupendwa

    ulimutoa.

    Ile ni zawadi yenye

    kupita yote.

    (REFREE)

    Yesu Kristo alikufa,

    Kusudi tukuwe huru.

    Kwa moyo wote

    Tutakushukuru milele.

  2. 2. Kwa kupenda Yesu

    alitukomboa.

    Alionyesha upendo

    Mukubwa sana.

    Aliitika kumwanga

    Damu yake

    Ili tupate tumaini

    ya uzima.

    (REFREE)

    Yesu Kristo alikufa,

    Kusudi tukuwe huru.

    Kwa moyo wote

    Tutakushukuru milele.

(Ona pia Ebr. 9:13, 14; 1 Pe. 1:18, 19.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine