Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 19
  • Chakula cha Mangaribi cha Bwana

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Chakula cha Mangaribi cha Bwana
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Uzima Ni Muujiza
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuwafundishe Wakuwe na Imani Yenye Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Sasa Tunakuwa Mwili Mumoja
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 19

WIMBO 19

Chakula cha Mangaribi cha Bwana

Maandishi

(Matayo 26:26-30)

  1. 1. Yehova Baba wa mbinguni,

    Leo siku takatifu!

    Zamani ulionyeshaka upendo,

    hekima, haki, na nguvu.

    Na damu ya mwana-kondoo

    Ililinda watu wako.

    Na kisha wakati Yesu akakufa

    Na kutimiza unabii.

  2. 2. Leo mukate na divai

    Vinatukumbusha Yesu,

    Na faida zote zenye tunapata

    Kupitia kifo yake.

    Leo siku ya Ukumbusho

    Tunamukumbuka Yesu,

    Mwenye alilipa bei ya ukombozi

    Ili tupate uzima.

  3. 3. Yehova tunakusanyika;

    Ulitualika hapa

    Ili tukusifu kwa upendo wako,

    Na kuheshimia Kristo.

    Ukumbusho unatufanya

    Tukuwe wenye shukrani.

    Basi tuige Kristo Mufalme wetu,

    Kusudi tuishi milele.

(Ona pia Lu. 22:14-20; 1 Ko. 11:23-26.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine