Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 141
  • Uzima Ni Muujiza

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Uzima Ni Muujiza
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuwafundishe Wakuwe na Imani Yenye Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tulinde Moyo Wetu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 141

WIMBO 141

Uzima Ni Muujiza

Maandishi

(Zaburi 36:9)

  1. 1. Kila mutoto, na mvua yote,

    Na jua na chakula: ni zawadi.

    Yehova Mungu njo Muumbaji.

    Na kila siku tuko tunashangaa.

    (REFREE)

    Mu maisha yetu, tufanye nini?

    Tumupende sana Yehova, Muumbaji.

    Tukumbuke kama, uzima wetu ni

    Zawadi ya Mungu, na ni muujiza.

  2. 2. Watu wengine wako nasema

    Kama: “Laani Mungu na ukufe.”

    Hatutaiga watu wa vile;

    Uzima ni zawadi tutaulinda.

    (REFREE)

    Mu maisha yetu, tufanye nini?

    Tumupende sana Yehova, Muumbaji.

    Tukumbuke kama, uzima wetu ni

    Zawadi ya Mungu, na ni muujiza.

(Ona pia Yob. 2:9; Zb. 34:12; Muh. 8:15; Mt. 22:37-40; Ro. 6:23.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine