Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 36
  • Tulinde Moyo Wetu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tulinde Moyo Wetu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Uzima Ni Muujiza
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuwafundishe Wakuwe na Imani Yenye Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 36

WIMBO 36

Tulinde Moyo Wetu

Maandishi

(Mezali 4:23)

  1. 1. Tuulinde moyo wetu;

    Tuepuke zambi.

    Mungu anajua mambo

    Yote ya mu moyo.

    Moyo unaweza

    Kutuongoza mubaya.

    Basi tumutii Mungu

    na tulinde moyo.

  2. 2. Tumutafute Yehova

    Kwa kusali sana.

    Kila siku tumusifu,

    na kumushukuru.

    Tufuate mambo yenye

    Anatufundisha.

    Na tumufurahishe kwa

    Moyo wetu wote.

  3. 3. Tuepuke mawazo ya

    Kuchafua moyo.

    Tuache Neno ya Mungu

    Itutie nguvu.

    Mungu anapenda watu

    Washikamanifu.

    Tutamuabudu yeye

    Mu maisha yote.

(Ona pia Zb. 34:1; Flp. 4:8; 1 Pe. 3:4.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine