Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 30
  • Baba Yangu, Mungu Wangu, na Rafiki Yangu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Baba Yangu, Mungu Wangu, na Rafiki Yangu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuwafundishe Wakuwe na Imani Yenye Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Uzima Ni Muujiza
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 30

WIMBO 30

Baba Yangu, Mungu Wangu, na Rafiki Yangu

Maandishi

(Waebrania 6:10)

  1. 1. Maisha iko nguvu,

    na watu wanahangaika.

    Lakini ninajua,

    “Kuko tumaini.”

    (REFREE)

    Mungu ni mwenye haki,

    atakumbuka kazi yangu.

    Iko karibu yangu;

    na hawezi kuniacha.

    Atanisaidia

    na kunilinda kila siku.

    Baba yangu, Mungu wangu,

    na Rafiki.

  2. 2. Sasa ninazeeka;

    Nguvu yangu inapunguka.

    Lakini naamini,

    Haiko njo mwisho.

    (REFREE)

    Mungu ni mwenye haki,

    atakumbuka kazi yangu.

    Iko karibu yangu;

    na hawezi kuniacha.

    Atanisaidia

    na kunilinda kila siku.

    Baba yangu, Mungu wangu,

    na Rafiki.

(Ona pia Zb. 71:17, 18.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine