WIMBO 30
Baba Yangu, Mungu Wangu, na Rafiki Yangu
Maandishi
1. Maisha iko nguvu,
na watu wanahangaika.
Lakini ninajua,
“Kuko tumaini.”
(REFREE)
Mungu ni mwenye haki,
atakumbuka kazi yangu.
Iko karibu yangu;
na hawezi kuniacha.
Atanisaidia
na kunilinda kila siku.
Baba yangu, Mungu wangu,
na Rafiki.
2. Sasa ninazeeka;
Nguvu yangu inapunguka.
Lakini naamini,
Haiko njo mwisho.
(REFREE)
Mungu ni mwenye haki,
atakumbuka kazi yangu.
Iko karibu yangu;
na hawezi kuniacha.
Atanisaidia
na kunilinda kila siku.
Baba yangu, Mungu wangu,
na Rafiki.
(Ona pia Zb. 71:17, 18.)