WIMBO 37
Nitakutumikia kwa Nafsi Yangu Yote
Maandishi
1. Eh! Yehova, nakupenda,
Ni weye tu njo ninatii.
Na ninajitoa kwako
Kusudi nikutumikie,
Nitafuata amri zako
Na ninazipenda sana!
(REFREE)
Eh! Yehova najitoa kwako
Kwa nafsi yangu yote.
2. Baba, vitu uliumba
Vinatangaza sifa yako.
Miye pia ninapenda
Kuitangaza jina yako.
Ninatoa maisha yangu,
Nifanye mapenzi yako.
(REFREE)
Eh! Yehova najitoa kwako
Kwa nafsi yangu yote.
(Ona pia Kum. 6:15; Zb. 40:8; 113:1-3; Muh. 5:4; Yoh. 4:34.)