Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 42
  • Sala ya Watumishi wa Mungu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Sala ya Watumishi wa Mungu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Aksanti Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Uzima Ni Muujiza
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 42

WIMBO 42

Sala ya Watumishi wa Mungu

Maandishi

(Waefeso 6:18)

  1. 1. Baba yetu, Mungu Mweza-Yote,

    Jina yako itakaswe milele.

    Mapenzi yako ifanyike.

    Tunaomba Ufalme ukuye

    Umalize mateso,

    Na kuleta baraka.

  2. 2. Kila siku tunakushukuru,

    Kwa zawadi zako zenye upendo.

    Unatupatia uzima,

    hekima, ujuzi, ufahamu.

    Tunasema aksanti

    Kwa kutupenda sana.

  3. 3. Mu dunia tuko na magumu.

    Tunaomba Baba utufariji.

    Tunakutupia mizigo,

    Tusaidie tuvumilie.

    Utupatie nguvu

    ya kukutumikia.

(Ona pia Zb. 36:9; 50:14; Yoh. 16:33; Yak. 1:5.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine