WIMBO 42
Sala ya Watumishi wa Mungu
Maandishi
1. Baba yetu, Mungu Mweza-Yote,
Jina yako itakaswe milele.
Mapenzi yako ifanyike.
Tunaomba Ufalme ukuye
Umalize mateso,
Na kuleta baraka.
2. Kila siku tunakushukuru,
Kwa zawadi zako zenye upendo.
Unatupatia uzima,
hekima, ujuzi, ufahamu.
Tunasema aksanti
Kwa kutupenda sana.
3. Mu dunia tuko na magumu.
Tunaomba Baba utufariji.
Tunakutupia mizigo,
Tusaidie tuvumilie.
Utupatie nguvu
ya kukutumikia.
(Ona pia Zb. 36:9; 50:14; Yoh. 16:33; Yak. 1:5.)