Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 57
  • Tuhubirie Watu Wote

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuhubirie Watu Wote
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kaza Macho ku Zawadi!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuwafundishe Wakuwe na Imani Yenye Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuende ku Mulima wa Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 57

WIMBO 57

Tuhubirie Watu Wote

Maandishi

(1 Timoteo 2:4)

  1. 1. Tunapenda kuwa kama Mungu,

    Kwa sababu hana ubaguzi.

    Yeye anapenda watu wote

    Wamujue na waokolewe.

    (REFREE)

    Hatuchague sura

    Wala hali ya mutu,

    Tunahubiria watu wote.

    Sababu ya upendo,

    Tunafundisha wote

    Wakuwe marafiki wa Mungu.

  2. 2. Vile watu wanaonekana,

    Ao fasi kwenye wanaishi,

    Haiko njo mambo ya maana,

    Yehova anachunguza moyo.

    (REFREE)

    Hatuchague sura

    Wala hali ya mutu,

    Tunahubiria watu wote.

    Sababu ya upendo,

    Tunafundisha wote

    Wakuwe marafiki wa Mungu.

  3. 3. Mungu anakaribisha wote

    Wenye wanaiacha dunia.

    Basi, tuambie watu wote

    Kama Mungu iko nawaita.

    (REFREE)

    Hatuchague sura

    Wala hali ya mutu,

    Tunahubiria watu wote.

    Sababu ya upendo,

    Tunafundisha wote

    Wakuwe marafiki wa Mungu.

(Ona pia Yoh. 12:32; Mdo. 10:34; 1 Ti. 4:10; Tit. 2:11.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine