Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 24
  • Tuende ku Mulima wa Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuende ku Mulima wa Yehova
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Hubiri Neno”
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuhubirie Watu Wote
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tutafute Marafiki wa Amani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • “Muache Mwangaza Wenu Uangaze”
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 24

WIMBO 24

Tuende ku Mulima wa Yehova

Maandishi

(Isaya 2:2-4)

  1. 1. Simama uone

    Mulima wa Yehova,

    Uko juu zaidi

    Kupita ingine.

    Watu wengi sana,

    Kutoka fasi yote,

    Wanaita wengine

    Waabudu Mungu.

    Sasa njo wakati

    Mudogo kuwa elfu moja.

    Na sasa Yehova

    Anabariki kazi yake.

    Watu wengi sana

    Wanajitoa kwake.

    Nao wanaitika

    Utawala wake.

  2. 2. Yesu alisema

    Tuhubirie wote

    Habari njema ya

    Ufalme wa Yehova.

    Kristo anaomba

    Watu watii Mungu.

    Na wapole wanapenda

    Neno ya Mungu.

    Tuko na furaha

    ya kusaidia wengine.

    Wajue Yehova,

    na kisha wapate uzima.

    Basi tualike

    Watu wote wakuye

    Kwenye mulima wa

    Yehova Mungu wetu.

(Ona pia Zb. 43:3; 99:9; Isa. 60:22; Mdo. 16:5.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine