Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 67
  • “Hubiri Neno”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Hubiri Neno”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tutafute Marafiki wa Amani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari Njema Iko Nahubiriwa Namna Gani?
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Tuende ku Mulima wa Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuendelee Kuhubiri Habari ya Ufalme!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 67

WIMBO 67

“Hubiri Neno”

Maandishi

(2 Timoteo 4:2)

  1. 1. Mungu ametupatia

    Kazi ya kuhubiria watu.

    Wakati wote tujulishe

    Tumaini yenye tuko nayo.

    (REFREE)

    Tuhubiri

    Neno kwa watu wote!

    Hubiri,

    Mwisho uko karibu.

    Hubiri,

    Saidia wapole.

    Hubiri

    Fasi yote.

  2. 2. Hata watu watutese

    Na hata waanze kutucheka,

    Tumutegemee Yehova,

    Sababu ni Mungu Mweza-Yote.

    (REFREE)

    Tuhubiri

    Neno kwa watu wote!

    Hubiri,

    Mwisho uko karibu.

    Hubiri,

    Saidia wapole.

    Hubiri

    Fasi yote.

  3. 3. Mu wakati ya muzuri;

    Tia moyo, chochea, fundisha

    Habari yenye kuokoa;

    Na utakase jina ya Mungu.

    (REFREE)

    Tuhubiri

    Neno kwa watu wote!

    Hubiri,

    Mwisho uko karibu.

    Hubiri,

    Saidia wapole.

    Hubiri

    Fasi yote.

(Ona pia Mt. 10:7; 24:14; Mdo. 10:42; 1 Pe. 3:15.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine