WIMBO 67
“Hubiri Neno”
Maandishi
1. Mungu ametupatia
Kazi ya kuhubiria watu.
Wakati wote tujulishe
Tumaini yenye tuko nayo.
(REFREE)
Tuhubiri
Neno kwa watu wote!
Hubiri,
Mwisho uko karibu.
Hubiri,
Saidia wapole.
Hubiri
Fasi yote.
2. Hata watu watutese
Na hata waanze kutucheka,
Tumutegemee Yehova,
Sababu ni Mungu Mweza-Yote.
(REFREE)
Tuhubiri
Neno kwa watu wote!
Hubiri,
Mwisho uko karibu.
Hubiri,
Saidia wapole.
Hubiri
Fasi yote.
3. Mu wakati ya muzuri;
Tia moyo, chochea, fundisha
Habari yenye kuokoa;
Na utakase jina ya Mungu.
(REFREE)
Tuhubiri
Neno kwa watu wote!
Hubiri,
Mwisho uko karibu.
Hubiri,
Saidia wapole.
Hubiri
Fasi yote.
(Ona pia Mt. 10:7; 24:14; Mdo. 10:42; 1 Pe. 3:15.)