Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 58
  • Tutafute Marafiki wa Amani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tutafute Marafiki wa Amani
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Uzima Ni Muujiza
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuwafundishe Wakuwe na Imani Yenye Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • “Hubiri Neno”
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 58

WIMBO 58

Tutafute Marafiki wa Amani

Maandishi

(Luka 10:6)

  1. 1. Yesu alihubiria watu;

    Alianza asubui kufika na mangaribi.

    Alitafuta sana kondoo,

    Alienda kuhubiri kweli ya Mungu.

    Tunahubiria watu

    Mu kila njia na nyumba

    Kama mateso yote itaisha.

    (REFREE)

    Tutafute

    Wenye wanapenda amani,

    Wale wenye

    Wanapenda kuokolewa,

    Tusiache

    Hata mutu.

  2. 2. Tutafute wenye kustahili

    Kwa sababu tunaona mwisho unakaribia.

    Upendo njo unatusukuma

    Tufariji watu wenye wanateseka.

    Tunaenda ku mashamba

    Na pia mu miji yote,

    Tukipata mutu tunafurahi.

    (REFREE)

    Tutafute

    Wenye wanapenda amani,

    Wale wenye

    Wanapenda kuokolewa,

    Tusiache

    Hata mutu.

(Ona pia Isa. 52:7; Mt. 28:19, 20; Lu. 8:1; Ro. 10:10.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine