WIMBO 82
“Muache Mwangaza Wenu Uangaze”
Maandishi
1. Yesu alisema tuangazie
Watu wote bila kuwabagua,
Ili wasikie Neno ya Mungu.
Basi tuifundishe kwa watu wote.
2. Na tufanye kazi ya kuhubiri
Ufalme kwa wote na fasi yote.
Tuache Biblia ituongoze
Wakati tunaenda mu mahubiri.
3. Tunaangazia watu wengine
Kwa maneno na kwa matendo yetu.
Basi tusiache kutii Mungu
Na kumufurahisha maisha yote.
(Ona pia Zb. 119:130; Mt. 5:14, 15, 45; Kol. 4:6.)