Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 61
  • Tuende Mbele

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuende Mbele
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuendelee Kuhubiri Habari ya Ufalme!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuwafundishe Wakuwe na Imani Yenye Nguvu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mungu Anatoa Ahadi ya Paradiso
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 61

WIMBO 61

Tuende Mbele

Maandishi

(Luka 16:16)

  1. 1. Watu wa Mungu wanapenda sana

    Kuhubiria watu habari njema.

    Hata Shetani awatese,

    Yehova anawapatia nguvu.

    (REFREE)

    Basi, tuende mbele na tusichoke,

    Tufanye kazi ya Mungu kwa furaha.

    Tutangaze kama hivi karibuni

    Mungu ataleta Paradiso.

  2. 2. Hatutafute mali ya dunia;

    Na kufurahisha wenye kutawala.

    Tunajitenga na dunia,

    Na tutabakia waaminifu.

    (REFREE)

    Basi, tuende mbele na tusichoke,

    Tufanye kazi ya Mungu kwa furaha.

    Tutangaze kama hivi karibuni

    Mungu ataleta Paradiso.

  3. 3. Watu wanauzarau Ufalme,

    Na wako nachafua jina ya Mungu.

    Basi tuende tuhubiri,

    Ili kuitakasa ile jina.

    (REFREE)

    Basi, tuende mbele na tusichoke,

    Tufanye kazi ya Mungu kwa furaha.

    Tutangaze kama hivi karibuni

    Mungu ataleta Paradiso.

(Ona pia Kut. 9:16; Flp. 1:7; 2 Ti. 2:3, 4; Yak. 1:27.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine