Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 64
  • Kufanya Kazi ya Mavuno kwa Furaha

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kufanya Kazi ya Mavuno kwa Furaha
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kazi Yetu ya Upendo
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuishi Kulingana na Jina Yetu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mashamba Ni Meupe kwa Ajili ya Kuvunwa
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Sisi Ni Wenye Furaha Kujitoa Katika Utumishi wa Yehova!
    Huduma Yetu ya Ufalme—2007
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 64

WIMBO 64

Kufanya Kazi ya Mavuno kwa Furaha

Maandishi

(Matayo 13:1-23)

  1. 1. Tuko wakati wa mavuno, ni pendeleo kabisa.

    Na mashamba iko tayari; ni wakati wa kuvuna.

    Yesu ni mufano muzuri, iko naongoza kazi;

    Tuko na pendeleo kabisa ya kutumika na yeye.

  2. 2. Kupenda Yehova na watu njo kuko kunatufanya

    Tuhubiri na kufundisha, mbele ya mwisho kufika.

    Yehova anatubariki; tuko na furaha sana.

    Tutaendelea kutumika kwa imani na bidii.

(Ona pia Mt. 24:13; 1 Ko. 3:9; 2 Ti. 4:2.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine