Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 108
  • Mungu Iko na Upendo Mushikamanifu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Iko na Upendo Mushikamanifu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Upendo Mushikamanifu wa Yehova Uko na Faida Gani Kwako?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Unafurahia Upendo Mushikamanifu Kama Yehova?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Tukuwe Washikamanifu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Iga Upendo Mushikamanifu wa Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 108

WIMBO 108

Mungu Iko na Upendo Mushikamanifu

Maandishi

(Isaya 55:1-3)

  1. 1. Mungu ni upendo,

    Na ni mushikamanifu.

    Tena alituma Yesu

    Akufe ili tupate

    Uzima wa bila mwisho,

    Na tukuwe na furaha.

    (REFREE)

    Mukuye na mukunywe

    Maji yenye uzima;

    Njo mutajionea

    Upendo wa Mungu.

  2. 2. Mungu ni upendo,

    Na ni mushikamanifu.

    Alimuchagua Yesu

    Ili akuwe Mufalme.

    Tunaona kazi zake;

    Sasa iko natawala.

    (REFREE)

    Mukuye na mukunywe

    Maji yenye uzima;

    Njo mutajionea

    Upendo wa Mungu.

  3. 3. Mungu ni upendo,

    Na ni mushikamanifu.

    Kupitia nguvu yake

    Tunafundisha wapole,

    Ili nao wamujue.

    Kisha wamutumikie.

    (REFREE)

    Mukuye na mukunywe

    Maji yenye uzima;

    Njo mutajionea

    Upendo wa Mungu.

(Ona pia Zb. 33:5; 57:10; Efe. 1:7.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine