Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 114
  • “Mukuwe na Uvumilivu”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Mukuwe na Uvumilivu”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Katika Kazi Yetu ya Kuhubiri—Tunapaswa Kuonyesha Uvumilivu
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Uvumilivu wa Yehova na Yesu Unatufundisha Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Uvumilivu​—Onyesha Sifa Hii na Uko na Tumaini
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Muendelee Kuwa na Uvumilivu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 114

WIMBO 114

“Mukuwe na Uvumilivu”

Maandishi

(Yakobo 5:8)

  1. 1. Yehova Mungu wetu

    Anapenda jina yake.

    Na sasa watu wengi

    Wameichafua sana.

    Lakini kwa upendo

    Iko navumilia,

    Sababu anapenda

    Wote wamujue.

    Na anaendelea

    Kuwa na uvumilivu,

    Mupaka watu wengi

    Waweze kuokolewa.

  2. 2. Kwa hiyo, siye pia

    Tukuwe wavumilivu.

    Tumuige Yehova,

    Tuepuke kasirani;

    Tena tusikazie

    Makosa ya wengine.

    Tukipata magumu,

    Tumuombe Mungu

    Atupatie nguvu,

    Tuweze kuvumilia;

    Na tukifanya vile

    Tutakuwa na furaha.

(Ona pia Kut. 34:14; Isa. 40:28; 1 Ko. 13:4, 7; 1 Ti. 2:4.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine