WIMBO 134
Watoto Ni Zawadi Yenye Mungu Anatupatia
Maandishi
1. Wakati baba na mama
Wanakuwa sasa na mutoto,
Ni muzuri wasisahau
Kama ile ni zawadi.
Ni Yehova njo Muumbaji
Wa uzima na wa kila kitu.
Na anapatia wazazi
Maagizo ya kufuata.
(REFREE)
Watoto ni zawadi yenu;
Munapaswa kuwapenda.
Ni lazima muwafundishe
Vile Mungu anapenda.
2. Amri za Yehova, Mungu
Wazazi munapaswa kujua;
Na kuzifundisha watoto
Kwa kuwa ni kazi yenu;
Na ikuwe munalamuka
Na wakati muko natembea,
Nyie mufanye kazi yenu,
Yehova atawabariki.
(REFREE)
Watoto ni zawadi yenu;
Munapaswa kuwapenda.
Ni lazima muwafundishe
Vile Mungu anapenda.
(Ona pia Kum. 6:6, 7; Efe. 6:4; 1 Ti. 4:16.)