Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 134
  • Watoto Ni Zawadi Yenye Mungu Anatupatia

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Watoto Ni Zawadi Yenye Mungu Anatupatia
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tutumainie Ndugu na Dada Zetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Yehova Ametupatia Wachungaji
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ulimutoa Mwana Wako Mupendwa
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuwafundishe ili Wapate Uzima wa Milele
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 134

WIMBO 134

Watoto Ni Zawadi Yenye Mungu Anatupatia

Maandishi

(Zaburi 127:3-5)

  1. 1. Wakati baba na mama

    Wanakuwa sasa na mutoto,

    Ni muzuri wasisahau

    Kama ile ni zawadi.

    Ni Yehova njo Muumbaji

    Wa uzima na wa kila kitu.

    Na anapatia wazazi

    Maagizo ya kufuata.

    (REFREE)

    Watoto ni zawadi yenu;

    Munapaswa kuwapenda.

    Ni lazima muwafundishe

    Vile Mungu anapenda.

  2. 2. Amri za Yehova, Mungu

    Wazazi munapaswa kujua;

    Na kuzifundisha watoto

    Kwa kuwa ni kazi yenu;

    Na ikuwe munalamuka

    Na wakati muko natembea,

    Nyie mufanye kazi yenu,

    Yehova atawabariki.

    (REFREE)

    Watoto ni zawadi yenu;

    Munapaswa kuwapenda.

    Ni lazima muwafundishe

    Vile Mungu anapenda.

(Ona pia Kum. 6:6, 7; Efe. 6:4; 1 Ti. 4:16.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine