WIMBO 103
Yehova Ametupatia Wachungaji
Maandishi
1. Wachungaji wenye Yehova
Ametupatia,
Wanatuonyesha mufano
Kwa matendo yao.
(REFREE)
Wachungaji wenye Yehova
Alishatupatia
Wako natuhangaikia.
Tunawapenda sana.
2. Wakati tuko na magumu
Wanatufariji.
Kupitia maneno yao
Tunapata nguvu.
(REFREE)
Wachungaji wenye Yehova
Alishatupatia
Wako natuhangaikia.
Tunawapenda sana.
3. Tena wanatushauria
Na kutuongoza
Ili tumutii Yehova
Mu maisha yetu.
(REFREE)
Wachungaji wenye Yehova
Alishatupatia
Wako natuhangaikia.
Tunawapenda sana.
(Ona pia Isa. 32:1, 2; Yer. 3:15; Yoh. 21:15-17; Mdo. 20:28.)