Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 135
  • Yehova Anakuomba “Ukuwe na Hekima”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Anakuomba “Ukuwe na Hekima”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sema Vile Unajisikiaka
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ninajitoa kwa Mungu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ulimutoa Mwana Wako Mupendwa
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Utaishi Milele!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 135

WIMBO 135

Yehova Anakuomba “Ukuwe na Hekima”

Maandishi

(Mezali 27:11)

  1. 1. Kijana ukuwe na hekima sana,

    Nitumikie kwa moyo wako wote,

    Ili maadui waone ya kama

    Haulazimishwe kunitumikia.

    (REFREE)

    Nakupenda weye kijana,

    Ukuwe tu na hekima.

    Ufanye vile kwa kupenda,

    Furahisha moyo wangu.

  2. 2. Nipatie nguvu yako kwa furaha.

    Sitakuacha hata ukianguka.

    Wakikutukana ao kukucheka,

    Ukuwe hakika kama nakupenda.

    (REFREE)

    Nakupenda weye kijana,

    Ukuwe tu na hekima.

    Ufanye vile kwa kupenda,

    Furahisha moyo wangu.

(Ona pia Kum. 6:5; Muh. 11:9; Isa. 41:13.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine