Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 76
  • Sema Vile Unajisikiaka

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Sema Vile Unajisikiaka
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Anakuomba “Ukuwe na Hekima”
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • ‘Tuhakikishe Mambo ya Maana Zaidi’
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ninajitoa kwa Mungu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 76

WIMBO 76

Sema Vile Unajisikiaka

Maandishi

(Waebrania 13:15)

  1. 1. Sema vile weye

    unajisikiaka,

    Kama tu unapata

    Wenye kupendezwa.

    Kisha kujikaza

    Kufundisha wengine,

    Umuache Yehova

    Awakomalishe.

    (REFREE)

    Nafurahi kupatia

    Mungu nguvu yangu yote,

    Na sauti yangu ili

    Kumusifu sana.

  2. 2. Sema vile weye

    unajisikiaka,

    Watu wakiitika

    Kweli ya Ufalme.

    Hata wakatale,

    Ao watufukuze,

    Siye hatutaacha

    Kuwahubiria.

    (REFREE)

    Nafurahi kupatia

    Mungu nguvu yangu yote,

    Na sauti yangu ili

    Kumusifu sana.

  3. 3. Sema vile weye

    unajisikiaka,

    Kuona vile Mungu

    Anakupa nguvu.

    Tuko nafundisha

    Wenye wanapendezwa;

    Sababu ule mwisho

    Unakaribia.

    (REFREE)

    Nafurahi kupatia

    Mungu nguvu yangu yote,

    Na sauti yangu ili

    Kumusifu sana.

(Ona pia Mdo. 13:48; 1 Te. 2:4; 1 Ti. 1:11.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine