WIMBO 35
‘Tuhakikishe Mambo ya Maana Zaidi’
Maandishi
1. Ni wakati wa kuwaza kuhusu
Mambo ya lazima,
Ya kweli na ya maana zaidi,
Yenye tutafanya!
(REFREE)
Fanya mema; furahisha
Mungu wetu.
Ni baraka kubwa
Kujifunza na kufanya
mambo ya maana zaidi!
2. Nini ingine yenye maana
Kupita kuhubiri,
na kutafuta watu wenye
Kupenda kujua kweli?
(REFREE)
Fanya mema; furahisha
Mungu wetu.
Ni baraka kubwa
Kujifunza na kufanya
mambo ya maana zaidi!
3. Tukifanya mambo ya maana,
Tutapata furaha,
na amani ya Mungu
Italinda moyo na akili.
(REFREE)
Fanya mema; furahisha
Mungu wetu.
Ni baraka kubwa
Kujifunza na kufanya
mambo ya maana zaidi!
(Ona pia Zb. 97:10; Yoh. 21:15-17; Flp. 4:7.)