Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 137
  • Wanamuke Wenye Imani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Wanamuke Wenye Imani
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tutegemeze Dada Zetu Wakristo
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Unatendea Wanamuke Vile Yehova Anawatendea?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
  • “Wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika bwana”
    Huduma Yetu ya Ufalme—2000
  • Dada Vijana​—⁠Mujikaze Kuwa Wakristo Wenye Kukomaa Kiroho
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 137

WIMBO 137

Wanamuke Wenye Imani

Maandishi

(Waroma 16:2)

  1. 1. Hana, Maria, Sara, na wengine

    Walikuwa na imani kabisa.

    Walimuogopa sana Yehova.

    Kuko tena wanamuke wengine

    Wenye walimupenda Yehova,

    Lakini Biblia haikuwataya.

  2. 2. Wale wanamuke walikuwa na

    Upendo, uhodari, na imani,

    Na sifa zingine za kuvutia.

    Na leo tunaona dada zetu

    Wenye kuwa washikamanifu.

    Basi tuwaige, tutabarikiwa.

  3. 3. Wajane na mama na dada zetu,

    Muko natumika kwa nguvu sana.

    Muko wapole, tena watiifu.

    Mujue, Yehova anawapenda.

    Tunasali awasaidie

    Ili musichoke, na mubarikiwe.

(Ona pia Flp. 4:3; 1 Ti. 2:9, 10; 1 Pe. 3:4, 5.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine