Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 143
  • Uendelee Kufanya Kazi, Kukesha, na Kungojea

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Uendelee Kufanya Kazi, Kukesha, na Kungojea
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuko Maaskari wa Yehova!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 143

WIMBO 143

Uendelee Kufanya Kazi, Kukesha, na Kungojea

Maandishi

(Waroma 8:20-25)

  1. 1. Yehova njo anajua,

    Mambo yenye itakuya.

    Tena hivi karibuni,

    Kweli atatetewa.

    (REFREE)

    Fanya kazi na uendelee

    Kukesha na kungojea

    Baraka za milele.

  2. 2. Siku Yesu atatosha

    Wote wenye kutesana,

    Ilishakatayarishwa.

    Tutafurahi sana.

    (REFREE)

    Fanya kazi na uendelee

    Kukesha na kungojea

    Baraka za milele.

  3. 3. Hatutavunjika moyo

    Hata kukuwe mateso.

    Siku ya Yehova Mungu

    Iko karibu sana.

    (REFREE)

    Fanya kazi na uendelee

    Kukesha na kungojea

    Baraka za milele.

(Ona pia Mt. 25:13; Lu. 12:36.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine