WIMBO 143
Uendelee Kufanya Kazi, Kukesha, na Kungojea
Maandishi
1. Yehova njo anajua,
Mambo yenye itakuya.
Tena hivi karibuni,
Kweli atatetewa.
(REFREE)
Fanya kazi na uendelee
Kukesha na kungojea
Baraka za milele.
2. Siku Yesu atatosha
Wote wenye kutesana,
Ilishakatayarishwa.
Tutafurahi sana.
(REFREE)
Fanya kazi na uendelee
Kukesha na kungojea
Baraka za milele.
3. Hatutavunjika moyo
Hata kukuwe mateso.
Siku ya Yehova Mungu
Iko karibu sana.
(REFREE)
Fanya kazi na uendelee
Kukesha na kungojea
Baraka za milele.
(Ona pia Mt. 25:13; Lu. 12:36.)