Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 71
  • Tuko Maaskari wa Yehova!

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuko Maaskari wa Yehova!
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Uendelee Kufanya Kazi, Kukesha, na Kungojea
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Nguvu Yangu, Tumaini Yangu, Ninakutegemea
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Watiwa-Mafuta Ni Mali ya Pekee
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 71

WIMBO 71

Tuko Maaskari wa Yehova!

Maandishi

(Waefeso 6:11-14)

  1. 1. Siye ni maaskari

    Wa Mungu wetu.

    Hata kama Shetani

    Iko natutesa,

    Hatutamuogopa.

    Tutahubiri,

    Na tutabakia

    Waaminifu.

    (REFREE)

    Siye ni maaskari;

    Tunatangaza:

    “Ufalme wa Mungu

    Unatawala.”

  2. 2. Tunamutumikia

    Mungu wa kweli.

    Tunatafuta sana

    Kondoo wa Mungu,

    Wenye wamepotea,

    Na wenye njaa.

    Tunawaalika

    Ku mikutano.

    (REFREE)

    Siye ni maaskari;

    Tunatangaza:

    “Ufalme wa Mungu

    Unatawala.”

  3. 3. Siye ni maaskari;

    Tutii Kristo.

    Na tuko na silaha

    Ili kupigana.

    Lakini tubakie

    Waangalifu.

    Tufundishe kweli;

    Tusiogope.

    (REFREE)

    Siye ni maaskari;

    Tunatangaza:

    “Ufalme wa Mungu

    Unatawala.”

(Ona pia Flp. 1:7; Flm. 2.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine